a
Amu 6:39
;
Yer 5:1
Genesis 18:32
32
a
Abrahamu akasema, “Bwana na asikasirike, lakini niruhusu nizungumze tena mara moja tu. Itakuwaje kama watapatikana huko watu kumi tu?”
Bwana akajibu, “Kwa ajili ya hao kumi, sitauangamiza.”
Copyright information for
SwhNEN